Unit 36

Somo La Thelathini Na Sita
Hotelini: At the Hotel

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

6. Zoezi la sita

7. Zoezi la saba

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Somo

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

Mwenye Hoteli: Karibu bibi, habari za safari?
Mgeni: Starehe Bwana, safari ilikuwa nzuri.
Mwenye Hoteli: Je nikufanyie nini?
Mgeni: Utaweza kunipatia chumba cha mtu mmoja na chenye choo cha kuogea.
Mwenye Hoteli: Unakitaka kwa muda gani?
Mgeni: Kwa wiki moja tu. Lakini kwanza niambie itanibidi nilipe nini kwa wiki na pia kwa usiku mmoja?
Mwenye Hoteli: Unapenda chumba kilichokuwa na aircondition (swahili word for aircondition is kiyoyozi),
au chumba kisichokuwa na kiyoyozi.
Mgeni: Nitalipa kiasi gani kwa chumba kilichokuwa nacho? Na nini tofauti ya hicho na chumba kisichokuwa nacho.
Mwenye Hoteli: Chumba kilicho na kiyoyozi ni shilingi arobaini na tano usiku mmoja;
kisicho nacho ni shilingi arobaini kwa usiku mmoja.
Mgeni: Ninakitaka hicho kilichokuwa nacho.
Mwenye Hoteli: Nitakupa chumba chenye nambari ishirini na moja na huu hapa ndiyo
ufunguo wako. Iwache mizigo yako hapa na utaletewa chumbani.