Unit 30

Somo la Thelathini
Kuendesha Gari "Motoring"

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

6. Zoezi la sita

7. Zoezi la saba

8. Zoezi la nane

9. Zoezi la tisa

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Somo

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

Jeni: Ninaweza kukodi motokaa hapa?
Joni: Unataka uendeshe mwenyewe au unataka dereva akuendeshe?
Jeni: Nataka niendeshe mimi mwenyewe.
Joni: Una safari ya kwenda wapi?
Jeni: Nataka kwenda Mombasa.
Joni: Unaitaka kwa muda gani?
Jeni: Nini kodi ya gari pamoja na petroli?
Joni: Unafikiri utakwenda maili ngapi?
Jeni: Labda kiasi cha maili mia nane hivi, nitalirudisha gari baada ya siku tatu.
Joni: Kodi ya kila maili ni shilingi moja, kwa hiyo gharama yote haitapungua
shilingi mia nane.
Jeni: Nini bei ya petroli hapa Nairobi?
Joni: Galani moja kwa shilingi tano.
Jeni: Mbona petroli ghali sana kwenu?
Joni: Galani yetu ni kubwa kuliko yenu.
Jeni: Tafadhali jaza tangi.