Unit 31

Somo La Thelathini Na Moja
Mandhari ya nyumbani kwangu: The view from my house.

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Vocabulary list part 3

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

Daudi: Nyumba yako iko mahali gani?
Pili: Nyumba yangu iko kwenye uwanja mkubwa juu ya kilima.
Daudi: Je ni kubwa au ndogo?
Pili: Ni ya kiasi. Urefu wake ni futi khamsini na upana wake ni futi arbaini.
Ina ghorofa mbili, ya chini na ya juu. Ina madirisha mengi, mapana na makubwa.
Daudi: Ina bustani?
Pili: Nje ya nyumba, kwa upande wa kulia, pana bustani yenye maua ya aina kwa aina.
Kwa upande wa pili, ule upande wa kushoto, karibu na gereji, pana miti michache ya
matunda. Mbele ya bustani, kwa mbali kidogo, pana hodhi la maji na nyuma yake
pana viti viwili vitatu.
Daudi: Kuna nini upande wa nyuma?
Pili: Ukizunguka nyuma ya nyumba, utakuta ua mkubwa wenye mahali pa kuanikia nguo,
na karibu yake pana mahali pakuchezea watoto.