Somo La Thelathini Na Nne
Kufika Kiwanja cha Ndege: Arriving at the airport
Original Audio (based on 1988 edition of textbook)
Mazungumzo
2. Repeat after one speaker
3. Repeat after two speakers
Mazoezi
2. Zoezi la pili
4. Zoezi la nne
5. Zoezi la tano
6. Zoezi la sita
7. Zoezi la saba
8. Zoezi la nane
Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)
Mazungumzo
1b. Repeat after the speakers
Somo
Vocabulary
Vocabulary list part 2
Mazungumzo (1988 version)
Asha: Jina lako nani?
Jimi: Jim Anderson.
Asha: Bwana Anderson, nionyeshe pasipoti yako.
Jimi: Hii hapa.
Asha: Viza iko wapi?
Jimi: Niliambiwa Amerika kwamba nitaipatia hapa.
Asha: Utakaa hapa kwa muda gani?
Jimi: Kiasi cha wiki mbili tatu.
Asha: Utafikia mahali gani hapa mjini.
Jimi: Natumai kujipatia chumba katika hoteli hapa mjini.
Asha: Unayo anwani na nambari ya simu ya hoteli yako?
Jimi: Bado sina, lakini unaweza kutumia anwani ya ofisi ya Ubalozi wa Amerika.
Asha: Mizigo yako iko wapi?
Jimi: Ni ile miwili myeusi.
Asha: Una kitu chochote cha kutoa ushuru?
Jimi: Hapana sina, wapi tutaweza kubadilisha hundi za safari?
Asha: Lazima uende benki au labda utaweza kubadilisha hotelini.