Unit 33

Somo La Thelathini Na Tatu
Mgonjwa: The Invalid

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

6. Zoezi la sita

7. Zoezi la saba

8. Zoezi la nane

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Somo

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Vocabulary list part 3

Vocabulary list part 4

Vocabulary list part 5

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

Tatu: Bwana Ali, Bi. Asha yuko wapi siku hizi? Sijamuona kitambo sasa.
Ali: Haoni vizuri.
Tatu: Cha mno nini?
Ali: Alikuwa mgonjwa? Alikuwa akipata homa kali pia alikuwa akiumwa na mgongo sana,
na mara kwa mara kichwa kilikuwa kinamsumbuwa.
Tatu: Amekwenda kuonana na daktari?
Ali: Alikuwa akienda kwa daktari na akimpa dawa ya kunywa kutwa mara tatu, na dawa ya kupaka mwili mzima. Vilevile siku ya kwanza alipokwenda alimpa sindano na akamptoa damu. Daktari alituambia kama ikiwa hakutibika kwa dawa hizo atampa kitanda hospitalini.
Tatu: Je, anajionaje sasa. Hajambo?
Ali: Hajambo sana. Anashukuru. Homa imempungua na kichwa hakimsumbui tena, lakini bado hana nguvu za kutosha.
Tatu: Tafadhali mpe salamu zangu. Mwambie ninamwombea uzima.