Unit 11

Somo La Kumi Na Moja
Chumba Cha Kulia: Dining Room

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

6. Zoezi la sita

7. Zoezi la saba

8. Zoezi la nane

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

Huyu ni Bwana Ali na huyu ni mama Ali. Wao wanatoka
Afrika ya Mashariki. Sasa wanakaa New York. Wanafanya
kazi Manhattan. Bwana Ali na mke wake Bibi Ali wana watoto
wawili. Majina yao Asha na Juma. Wazazi na watoto wanakula
chakula. Kuna chakula mezani. Kuna kuku, mboga, viazi, mkate
na matunda. Kuna vinywaji kama kahawa, chai na maziwa. Pia
kuna vyombo kama visu, vijiko, sahani na nyuma. Kuna kioo
ukutani na saa kabatini. Mama na Asha wanazungumza.
Baba na Juma wanakula. Wao wanapenda kula. Wanawake
wanapenda kuzungumza.