Unit 29

Somo La Ishirini Na Tisa
Safari kwa basi: "A Journey by Bus"

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Somo

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

Asha: Nataka kwenda Kisumu, naweza kwenda kwa basi?
Juma: Ndiyo unaweza lakini bora uende kwa treni.
Asha: La, sitaki kwenda kwa treni, nitapenda niende kwa basi ikiyumkinika.
Tikiti kiasi gani?
Juma: Tikiti ya kwenda na kurudi?
Asha: Tikiti ya kwenda tu.
Juma: Nauli ni shilingi ishirini na tano.
Asha: Ni umbali gani kutoka hapa mpaka huko?
Juma: Ni mwendo wa saa nne unusu. Utapenda kwenda wakati gani?
Asha: Basi la asubuhi huondoka (saa ngapi)? (lini - siyo sahihi)
Juma: Huondoka saa nne kamili na hufika saa nane na nusu
Asha: Basi litaondokea mahali gani?
Juma: Lazima ufike hapa saa tatu unusu ili upate kiti kizuri.
Asha: Nipande basi nambari gani?
Juma: Panda basi lolote kutoka kituo nambari tatu.
Asha: Ni ruhusa nichukue mizigo yoyote?
Juma: Una mizigo mingapi kwa jumla?
Asha: Nina mizigo miwili,s mmoja mkubwa na mmoja mdogo. Ninaweza kuichukua yote miwili?
Juma: Oo ndiyo, bila shaka unaweza kuichukua.
Asha: Niteremke mahali gani?
Juma: Teremka stesheni ya kisumu.