Unit 32

Somo La Thelathini Na Mbili
Shida Njiani: In Trouble on the Road

Original Audio (based on 1988 edition of textbook)

Mazungumzo

1. Listen to the whole dialog

2. Repeat after one speaker

3. Repeat after two speakers

Mazoezi

1. Zoezi la kwanza

2. Zoezi la pili

3. Zoezi la tatu

4. Zoezi la nne

5. Zoezi la tano

6. Zoezi la sita

7. Zoezi la saba

Supplementary Audio (for 2001 edition of textbook)

Mazungumzo

1a. Listen to the dialog

1b. Repeat after the speakers

Vocabulary

Vocabulary list part 1

Vocabulary list part 2

Mazungumzo (1988 version)

The text is included here to aid students using the 2001 edition of the text with the original audio based on the 1988 edition. Copyright Sharifa Zawawi.

insert dialog textMtalii: Motokaa yangu imeharibika naweza kupata fundi?
Mwenyeji: Imeharibika nini?
Mtalii: Sijui, lakini labda fan-belt imekatika na sina nyingine.
Mwenyeji: Kuna gereji nusu maili kutoka hapa, labda huko huenda ukapata fundi.
Mtalii: Ninaweza kumpigia simu kutoka hapa?
Mwenyeji: Nafikiri huenda ikawako simu kwenye gereji lakini sina hakika. Jaribu.
Mtalii: Nimepiga simu lakini fundi hayuko na karani wake ameniambia kwamba nipige
tena baada ya nusu saa, yaani kabla hawajafunga duka. Huenda atakuwa amerudi.